Tanzanian singer, Diamond Platnumz releases visuals for his song Kamala. Enjoy lyrics below:

Kamata, Kamata

Kamatika, kamata

Kamata, Kamata

Mpaka Chini, kamata

Kamata, Kamata

Kamatika, kamata

Kamata, Kamata

Mpaka Chini, kamata

Kamata kiuno, kamata bega

Kamata kichwa ka ndoo unabeba

Kamata kimini chalegalega

Wooh! Maana chashuka chini unanitega

Aah! Mah! Yaleo kiboko

Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo

Ana komesha toto

Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Kamata, Kamata

Kamatika, kamata

Kamata, Kamata

Mpaka Chini, kamata

Kamata, Kamata

Kamatika, kamata

Kamata, Kamata

Mpaka Chini, kamata

Eeeh! Kama gari ile vuum! vuum! (Vuum! Vuum!)

Mtoto mkali mchum mchum (Mchum! Mchum!)

Ikiwa ngangali ile ngumu ngumu (Ngumu! Ngumu!)

Nenda kamchinjie mbali kwa room room

Sa Twende kamata

Kama unaisakata nyumba kwa bambata

Ile kinoma

Tegeta, Tabata fanya unaifatata

Za mbuzi kakataa, Amegoma Aaii!

Kati kati, Chini Chini, Kamata

Kasi Kasi, speed 120, Kamata

Eeeh! Kama unamenya ndizi, Kamata

Police anashika mwizi, Kamata

Aah! Mah! Yaleo kiboko

Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo

Ana komesha toto

Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema

Kamata, Kamata

Kamatika, kamata

Kamata, Kamata

Mpaka Chini, kamata

Kamata, Kamata

Kamatika, kamata

Kamata, Kamata

Mpaka Chini, kamata

Stream/Watch/Download

CLICK TO DOWNLOAD NOW